Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Kwa Watoto wa Siku Hizi

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Kwa Watoto wa Siku Hizi

Rafiki yangu mpendwa katika Krsito, Tunaishi katika karne ambayo imepewa jina la “Karne ya Sayansi na Teknolojia”. Maendeleo makubwa ya Sayansi na teknolojia yamesababisha mabadiliko karibu katika nyanja zote za maisha ya mwanadamu na mabadiliko hayo yanatokea kwa kasi sana kuliko karne zilizopita. Maendeleo tunayoyashuhudia si kitu cha kushangaza kwa wasomaji wa Biblia maana ni…

Unajua Umuhimu wa kuwafundisha watoto elimu ya kiroho?

Unajua Umuhimu wa kuwafundisha watoto elimu ya kiroho?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wana wasiwasi kuhusu kuwalea watoto katika ulimwengu wa leo unaokabiliwa na changamoto za utandawazi. Hata hivyo, hatuna sababu ya kuwa na wasiwasi kama tukifuata ushauri huu: “Mlee mtoto katika njia impasayo, naye hataiacha hata atakapokuwa mzee”(Mithali 22:6). Watoto waendeleapo kukua, wanahitaji ‘njia’, yaani kanuni…

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo,  Umewahi kusikia kuhusu jarida la Forbes? Hili ni jarida maarufu la kibiashara la Marekani ambalo huchapisha masuala ya fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Jarida hili ni maarufu sana duniani kwa kutoa takwimu, orodha na madaraja ya vitu kama vile orodha ya watu matajiri (mabilionea) zaidi duniani (the Word’s Billionaires). Januari…

Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Rafiki yangu mpendwa, Katika makala yangu iliyopita, nilieleza vile namna ambavyo Mungu aliagiza “tule bata”. Katika makala hiyo nilieleza kuwa kula bata kunatafsiriwa kama kupumzika na kufurahia maisha. Kupitia biblia, Mungu ameelekeza tuwe na muda kupumzika vya kutosha kila siku na siku moja kwa kila juma. Leo nitakushirikisha kitu muhimu cha kuzingatia kabla ya “kula…

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Msemo “kula bata” umekuwa maarufu sana katika siku za hivi karibuni ukiwa unatumiwa zaidi na vijana. Msemo huu unatumika kumaanisha kufurahia maisha. Japo kila mtu anatafsiri yake kuhusu kufurahia maisha, mara nyingi “kula bata” ni kufurahisha maisha kunakohusisha kutumia pesa katika mambo mbalimbali kama vile burudani, kula  na kunywa vitu…