Hii Ndiyo Sababu Kwa Nini Unapaswa Kutoa Zaka

Hii Ndiyo Sababu Kwa Nini Unapaswa Kutoa Zaka

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi wakiwemo wakristo, hutafuta mafanikio ya kifedha ili wafaidike wao wenyewe na familia zao tu. Lakini haipaswi kuwa hivyo, badala yake fedha unapoipata, kabla ya hata hujaanza kuitumia yakupasa kumpatia Mungu kilicho chake kama Neno la Mungu linavyosema “Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya…

Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Rafiki yangu mpendwa, Mara nyingi tunaposikia suala la deni la taifa au mikopo kwa serikali, mawazo yetu yanakimbia moja kwa moja katika nchi zilizoendelea pamoja na mashirika ya kimataifa kama vile Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na mengine mengi. Hawa ndio wakopeshaji wakuu wa Serikali. Ndiyo, hawa ndiyo wakopeshaji wakubwa wa Serikali, lakini…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka Kazi yako Kugeuka kuwa Ibada ya Sanamu

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka Kazi yako Kugeuka kuwa Ibada ya Sanamu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Je, Unaelewa nini kuhusu kuabudu sanamu? Je, Unahusika katika ibada ya sanamu? Je, Wapagani ndio waabudu sanamu tu? Watu wengi, hasa wa kizazi hiki, ni wanaabudu sanamu lakini hawajui kuwa ni waabudu sanamu. Leo nitakushirikisha namna moja tu kati ya nyingi  ambavyo unaweza kuwa unaabudu sanamu bila wewe kufahamu. Nitakushirikisha…

Je, Unataka Kujua kwa nini Wanawake Hupenda Kuvaa ‘Vimini’? Soma hapa

Je, Unataka Kujua kwa nini Wanawake Hupenda Kuvaa ‘Vimini’? Soma hapa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya mambo ambayo Mungu wetu anayajali sana na ameyatolea maelekezo bainifu ni mwonekano wetu wa nje hususani katika mavazi, mapambo na vipodozi. Kwa mfano, kupitia katika 1 Timotheo 2:9-10 na Petro 3:1- 5, Mungu anasisitiza juu ya wakristo kuvaa mavazi ya heshima, yaani mavazi ya kujisitiri na yenye adabu.…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kujenga Msingi Bora wa Malezi kwa Mtoto Wako

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kujenga Msingi Bora wa Malezi kwa Mtoto Wako

Rafiki yangu Mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya mashujaa wa imani tunaowasoa kwenye Biblia ni Danieli na wenzake watatu. Danieli alizaliwa katika ufalme wa Yuda katika kipindi cha wasiwasi na misukosuko kutokana na kuibuka kwa Babeli kama ufalme wenye nguvu kwa wakati ule. Danieli alikuwa ni kijana mdogo tu mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 15…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufanya ili  Kuitikia Maelekezo ya Yesu Aliposema “Waacheni Watoto wadogo Waje Kwangu…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufanya ili  Kuitikia Maelekezo ya Yesu Aliposema “Waacheni Watoto wadogo Waje Kwangu…

Rafiki yangu mpendwa Katika Kristo, Neno la Mungu linaeleza kuwa “Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao. Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa. Akawakumbatia,…

Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu mpendwa , Katika makala yangu iliyopita nilikushirikisha  juu ya aina ya uwekezaji wa kisasa ambao mtu wa kisasa kama wewe ni muhimu kuwa nao. Aina hiyo ya Uwekezaji huo ni uwekezaji katika masoko ya dhamana. Katika makala hayo, nilikueleza kuwa uwekezaji katika masoko ya dhamana si uwekezaji mpya duniani lakini ni uwekezaji mpya…

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu Mpendwa, Kuna aina nyingi za uwekezaji ambazo watu wamekuwa wakizifanya. Baadhi ya aina hizo ni uwekezaji katika ardhi na majengo kwa kuwa na ardhi ya kukodisha na kujenga nyumba za kupangisha, kuweka fedha benki ili kupata riba, kuwekeza katika vipaji na talanta ulizo nazo kama vile utunzi na uimbaji wa nyimbo, michezo mbalimbali,…

Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Katika dunia ya leo, karibu kila mtu analalamika juu ya ugumu wa maisha. Hata wafanyakazi wenye ajira za kudumu nao ni miongoni mwa watu wanaolalmikia ugumu wa maisha.Watu wanapata pesa kila siku au kila mwezi lakini watakuambia haitoshi. Umewahi kujiuliza tatizo ni nini? Zinaweza kuwepo sababu nyingi kwa nini karibu…

Hii ndiyo tofauti kati ya kuhubiri na kufundisha

Hii ndiyo tofauti kati ya kuhubiri na kufundisha

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kabla Bwana wetu Yesu Kristo hajapaa kwenda mbinguni, alitupatia wajibu muhimu unaohusiana na kuwaandaa watu kwa ajili ya ufalme aliokuwa anaenda kutuandalia. Wajibu huo ni kuhubiri habari njema za wokovu kutoka kwa Mungu, yaani Injili na vilevile kuwafundisha watu kuyashika maelekezo yote ya Mungu. Agizo la Yesu kuhusu wajibu huu…