Hizi Ndizo Kanuni Za Kufanya Biashara Kwa Mkristo

Ndugu yangu mpendwa katika Kristo, Hakuna ubishi kwamba biashara ni njia mojawapo ya uhakika ya kujipatia kipato kisicho na kikomo. Hivyo, ni vema kila mmoja anayetamani kufanikiwa kifedha awe na biashara hata kama na vyanzo vingine vya kipato. Kama utaamua kufanya biashara, yakupasa ujue kuwa biashara ina kanuni zake. Zipo kanuni za jumla ambazo mfanyabiashara…