Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Hivi umeshawahi kujiuliza, ikitokea umestaafu na ukacheleweshewa mafao yako kwa muda wa miezi sita au zaidi, maisha yako na ya familia yako yatakuwaje? Swali jingine, ambalo nakuomba ujiulize ni hili: Unajua kwamba pensheni utakayokuwa unalipwa kila mwezi baada ya kustaafu ni ndogo kuliko mshahara wako wa sasa? Kama unajua, je,…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwafundisha Watoto Wako Elimu ya Fedha

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwafundisha Watoto Wako Elimu ya Fedha

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watoto ni zawadi, thawabu na urithi kutoka kwa Mungu (Zaburi 127:3). Baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, Mungu aliwapa maelekezo mahususi tena kwa kurudiarudia kuhusu kuwafundisha watoto wao kile alichokuwa amewafundisha (Kumbukumbu la Torati 4:9-10, 40; 5:29; 6:2-9; 11:18-21). Bila shaka, Mungu alitaka mafanikio yanayotokana na…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuandaa Kichwa Kizuri cha Hubiri Lako

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuandaa Kichwa Kizuri cha Hubiri Lako

Rafiki yangu Mpendwa Katika Kristo, Kichwa cha hubiri ni kitu muhimu sana katika hubiri. Pamoja na kuwa muhimu, baadhi ya wahubiri wa injili wana mtazamo kuwa kichwa cha hubiri siyo kitu cha msingi sana katika maandalizi ya hubiri. Ndiyo maana baadhi ya wahubiri huwa hawana kichwa cha hubiri. Kwa nini kichwa cha hubiri ni muhimu?…