Kuna Uhusiano gani Kati ya Mwonekano wa Nje wa Mtu na Hali yake ya Kiroho?

Kuna Uhusiano gani Kati ya Mwonekano wa Nje wa Mtu na Hali yake ya Kiroho?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Mungu haangalii nje bali anaangalia ndani ya moyo” ni kauli maarufu sana inayotokana na dhana kwamba namna mtu anavyoonekana kwa watu wengine si muhimu ili mradi tu ndani ya moyo wake yuko safi. Watu wanaotoa kauli hiyo huenda mbali zaidi hata kuithibitisha kwa kutumia maandiko matakatifu kama vile  “…… Bwana…

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…