Biblia Inasemaje Kuhusu Kukopesha kwa Riba?

Biblia Inasemaje Kuhusu Kukopesha kwa Riba?

Rafiki yangu mpendwa, Katika makala yaliyopita, tuligusia kidogo suala la kukopesha kwa riba. Katika makala ya leo, tutaliangalia suala hili kwa undani kidogo ili kuona kama Biblia inaruhusu kukopesha kwa riba au ala. Kusoma makala juu ya ‘Biblia inasemaje kuhusu kukopa na kukopesha’ bonyeza hapa Biblia imetoa miongozo bayana kuhusu kukopeshana ambapo imeeleza ni nani…

Biblia Inasemaje Kuhusu Kukopa na Kukopesha?

Biblia Inasemaje Kuhusu Kukopa na Kukopesha?

Rafiki yangu Mpendwa, Mikopo na madeni ni sehemu ya maisha kwa watu wengi leo. Pamoja na manufaa makubwa yanayoweza kupatikana kupitia mikopo, kuna changamoto na hatari nyingi zinazotokana na mikopo. Watu wengi wamekuwa wakiingia kwenye madeni mabaya na yanayowatesa kwa sababu tu hawajui hatari za mikopo, na hilo limekuwa kikwazo kikubwa kufikia mafanikio ya kifedha.…