Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutoka Katika Utumwa wa Madeni

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutoka Katika Utumwa wa Madeni

Rafiki yangu mpendwa , tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu mada ya mikopo na madeni. Katika makala yaliyopita, tuliangalia namna ambavyo mtu ambaye hana madeni anavyoweza kuepuka kuingia katika madeni. Katika makala ya leo, tutaangalia namna mtu aliye tayari katika madeni anavyoweza kutoka katika madeni hayo na kuwa huru. Kuondokana na mikopo kunaweza kufananishwa na…

Ukifanya Haya Utajiepusha na Hatari ya Kuingia Kwenye Madeni Mabaya

Ukifanya Haya Utajiepusha na Hatari ya Kuingia Kwenye Madeni Mabaya

Rafiki yangu mpendwa, Karibu tena katika mwendelezo wa makala kuhusu mikopo na madeni. Katika makala ya nyuma nimekuwa nikikushirikisha mambo kadhaa kuhusu mada hii. Pamoja na mambo mengine, tumejifunza kuwa hakuna andiko lolote katika Biblia linalosema kwamba kukopa ni dhambi au kukopesha ni dhambi na kwamba yapo mafungu kadhaa ambayo ama moja kwa moja au…