Waraka wa Wazi kwa Wahitimu wa Elimu ya Juu 2023

Waraka wa Wazi kwa Wahitimu wa Elimu ya Juu 2023

Baada ya kudanganywa na kijidanganya, huu hapa ukweli ambao huujui Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Hiki ni kipindi cha mwaka ambacho wanafunzi wa elimu ya juu (isipokuwa wachache) wamekamilisha muhula wa mwisho wa mwaka wa masomo. Na kati yao kuna ambao wamehitimu masomo yao kwa ngazi mbalimbali kuanzia astashahada (certfificate), stashahada (Diploma), shahada ya kwanza…

Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Nendeni Chuoni Mkijua Hakuna Ajira Na Mliofeli Pambaneni na Hali Zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya pili ya waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023. Katika sehemu ya kwanza ya waraka huu niliwakumbusha wale waliofaulu mtihani wa kidato cha sita kuwa kwa sasa dunia nzima kuna tatizo la…

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Nendeni chuoni mkijua hakuna ajira na mliofeli pambaneni na hali zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wiki iliyopita, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), lilitangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita iliyofanyika Mei, 2023. Kama ilivyo kawaida, katika mitihani, wapo waliofaulu vizuri na kupata sifa za kuendelea na masomo ya elimu ya juu na…

Hizi Ndizo Sababu Kwa Nini Watu Hutafuta Utajiri Kwa Njia za Kishirikina

Hizi Ndizo Sababu Kwa Nini Watu Hutafuta Utajiri Kwa Njia za Kishirikina

Mpenzi msomaji, Tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu uhusiano wa ushirikina na mafanikio ya kiuchumi. Katika makala yaliyopita tuliona kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tuliangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu wanazotumia waganga hao bila ya wewe kuwa mshirikina na ukafikia mafanikio…

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 3

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena kwenye mfululizo wa makala kuhusu uhusiano wa ushirikina na mafanikio ya kiuchumi. Katika makala yaliyopita tuliona kuwa kuna watu wanadai kupata mafanikio makubwa ya kiuchumi kwa kutumia ushirikina. Nilieleza hayo kwa kutumia sayansi ya tabia ya mwanadamu. Hata hivyo, ukweli ni kwamba mafanikio hayo hayaletwi na ushirikina bali…

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 2

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 2

Rafiki yangu katika Kristo, Tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu uhusiano kati ya ushirikina na utajiri. Katika makala haya, tutaangalia kama ushirikina unaweza kusaidia kupata utajiri na mafanikio mengine au la. Kupata makala ya nyuma kuhusu mada hii, bonyeza hapa. Pengine, swali muhimu la kujiuliza ni hili: Je ni kweli ushirikina unaweza kuleta utajiri? Jibu…