Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Rafiki yangu Mpendwa, Je, umewahi kuhisi kutosikilizwa kwenye mazungumzo ya aina yoyote? Labda ulikuwa katikati ya kuzungumza, mtu fulani akakukatiza kabla hujamaliza, au labda ulimaliza kuzungumza ukitegemea kujibiwa ukakutana na ukimya wa kushangaza na ukagundua kuwa mtu uliyekuwa unaongea naye alikuwa anachati kwenye simu na hivyo alikuwa hakusikilizi? Je, ulijisikiaje? Katika mazungumzo ya aina yoyote,…

Hizi Ndizo Kanuni za Matumizi ya Simu ambazo Watu Wastaarabu Huzifuata

Hizi Ndizo Kanuni za Matumizi ya Simu ambazo Watu Wastaarabu Huzifuata

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Katika ulimwengu wa leo uliogubikwa na teknolojia, mawasiliano ya simu ni sehemu muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku. Simu za zimekuwa zikitumika kwa kiasi kikubwa katika mawasiliano ya binafsi na ya kikazi. Hata hivyo, ni muhimu kufuata kanuni za adabu na mienendo sahihi katika matumizi ya simu ili…