Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tumekuwa na mfululizo wa makala kuhusu tabia ambazo hazifai katika mawasiliano. Tayari tumeshaona tabia mbaya 11 hadi sasa. Karibu katika sehemu ya mwisho ya makala haya ambapo tunaenda kuangalia tabia zingine tano zisizofaa katika mawasiliano. Kusoma makala ya nyuma bonyeza hapa Katika makala ya leo tutaangalia tabia zifuatazo: kujaribu kumshinda…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mwendelezo wa makala kuhusu tabia mbaya unazopaswa kuziepuka unapokuwa katika mazungumzo muhimu na mtu. Katika mfululizo wa makala haya, tunaangalia tabia ambazo zinaweza kuharibu mazungumzo yako na mtu au watu wengine. Katika makala yaliyopita tuliangalia tabia mbaya tano. Tabia ya kwanza ni matumizi ya simu wakati wa…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 2

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 2

Rafiki yangu mpendwa, Karibu katika mwendelezo wa makala kuhusu tabia mbaya unazopaswa kuziepuka unapokuwa katika mazungumzo muhimu na mtu. Katika makala yaliyopita, tuliangalia tabia mbili ambazo zinaweza kuharibu mazungumzo yako na mtu au watu wengine. Tabia ya kwanza ni kumkatiza mtu mwingine anapoongea na tabia ya pili ni kumalizia maneno au sentensi za mtu mwingine.…