Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufanya ili Kuitikia Maelekezo ya Yesu Aliposema “Waacheni Watoto wadogo Waje Kwangu…
Rafiki yangu mpendwa Katika Kristo, Neno la Mungu linaeleza kuwa “Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao. Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa. Akawakumbatia, … Read more