Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Katika dunia ya leo, karibu kila mtu analalamika juu ya ugumu wa maisha. Hata wafanyakazi wenye ajira za kudumu nao ni miongoni mwa watu wanaolalmikia ugumu wa maisha.Watu wanapata pesa kila siku au kila mwezi lakini watakuambia haitoshi. Umewahi kujiuliza tatizo ni nini? Zinaweza kuwepo sababu nyingi kwa nini karibu…

Hizi Ndizo Kanuni Za Kufanya Biashara Kwa Mkristo

Ndugu yangu mpendwa katika Kristo, Hakuna ubishi kwamba biashara ni njia mojawapo ya uhakika ya kujipatia kipato kisicho na kikomo. Hivyo, ni vema kila mmoja anayetamani kufanikiwa kifedha awe na biashara hata kama na vyanzo vingine vya kipato. Kama utaamua kufanya biashara, yakupasa ujue kuwa biashara ina kanuni zake. Zipo kanuni za jumla ambazo mfanyabiashara…