Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwafundisha Watoto Wako Elimu ya Fedha

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwafundisha Watoto Wako Elimu ya Fedha

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watoto ni zawadi, thawabu na urithi kutoka kwa Mungu (Zaburi 127:3). Baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, Mungu aliwapa maelekezo mahususi tena kwa kurudiarudia kuhusu kuwafundisha watoto wao kile alichokuwa amewafundisha (Kumbukumbu la Torati 4:9-10, 40; 5:29; 6:2-9; 11:18-21). Bila shaka, Mungu alitaka mafanikio yanayotokana na…

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kuna mitazamo tofauti miongoni mwa wakristo kuhusu suala la bima. Wapo wanaounga mkono kukata bima ya aina yoyote lakini wapo wengine ambao wana mtazamo kuwa kukata bima kunaonesha upungufu wa imani juu ya uweza wa Mungu. Kwa sababu ya mgawanyiko huu wa mtazamo, tutajadili kidogo suala hili. Kwanza ieleweke kuwa,…

Fedha yako inaweza kuimarisha au kubomoa Ndoa yako

Fedha yako inaweza kuimarisha au kubomoa Ndoa yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tafiti zilizofanyika katika nchi mbalimbali zinaonesha kuwa mojawapo ya mambo yanayooongoza kusababisha migogoro na kuvunjika kwa ndoa ni fedha. Kwa mfano, Mwaka 2017, kampuni moja ya kimarekani inayojishughulisha na utafiti na utoaji wa elimu ya masuala ya fedha itwayo Ramsey solutions, ilifanya utafiti uliowahusisha watu 1072 nchini humo. Lengo la…