Kama Unadhani Kuwasaidia Omba Omba Ndiyo Ukristo, Soma Vizuri Biblia Yako

Kama Unadhani Kuwasaidia Omba Omba Ndiyo Ukristo, Soma Vizuri Biblia Yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya changamoto ambayo inaelekea kuwa janga hapa nchini na duniani kwa ujumla ni omba omba. Ninapozungumzia ombaomba simaanishi wale tu wanaosimama au kutembea mitaani na vibakuli kuomba misaada. Ndiyo, hao ni omba omba, lakini pia wapo omba omba wasiotembea au kusimama mitani lakini wanaomba misaada kwa njia mbalimbali. Baadhi…

Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Hivi umeshawahi kujiuliza, ikitokea umestaafu na ukacheleweshewa mafao yako kwa muda wa miezi sita au zaidi, maisha yako na ya familia yako yatakuwaje? Swali jingine, ambalo nakuomba ujiulize ni hili: Unajua kwamba pensheni utakayokuwa unalipwa kila mwezi baada ya kustaafu ni ndogo kuliko mshahara wako wa sasa? Kama unajua, je,…

Kwa utaratibu wa Biblia, si kila mhitaji lazima asaidiwe

Kwa utaratibu wa Biblia, si kila mhitaji lazima asaidiwe

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Ni wajibu wa wakrisito kuwasaidia wahitaji katika jamii. Hivyo, zaidi ya kutoa zaka na sadaka kanisani, wakristo yawapasa kutenga kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kuwasaidia wahitaji. Suala hili ni la kibiblia maana ziaidi ya kusisitizwa katika maadniko, ipo mifano mingi katika maandiko ya watu waliotoa misaada kwa wahitaji.…

Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Rafiki yangu mpendwa, Katika makala yangu iliyopita, nilieleza vile namna ambavyo Mungu aliagiza “tule bata”. Katika makala hiyo nilieleza kuwa kula bata kunatafsiriwa kama kupumzika na kufurahia maisha. Kupitia biblia, Mungu ameelekeza tuwe na muda kupumzika vya kutosha kila siku na siku moja kwa kila juma. Leo nitakushirikisha kitu muhimu cha kuzingatia kabla ya “kula…

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Msemo “kula bata” umekuwa maarufu sana katika siku za hivi karibuni ukiwa unatumiwa zaidi na vijana. Msemo huu unatumika kumaanisha kufurahia maisha. Japo kila mtu anatafsiri yake kuhusu kufurahia maisha, mara nyingi “kula bata” ni kufurahisha maisha kunakohusisha kutumia pesa katika mambo mbalimbali kama vile burudani, kula  na kunywa vitu…