Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tumekuwa na mfululizo wa makala kuhusu tabia ambazo hazifai katika mawasiliano. Tayari tumeshaona tabia mbaya 11 hadi sasa. Karibu katika sehemu ya mwisho ya makala haya ambapo tunaenda kuangalia tabia zingine tano zisizofaa katika mawasiliano. Kusoma makala ya nyuma bonyeza hapa Katika makala ya leo tutaangalia tabia zifuatazo: kujaribu kumshinda…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mwendelezo wa makala kuhusu tabia mbaya unazopaswa kuziepuka unapokuwa katika mazungumzo muhimu na mtu. Katika mfululizo wa makala haya, tunaangalia tabia ambazo zinaweza kuharibu mazungumzo yako na mtu au watu wengine. Katika makala yaliyopita tuliangalia tabia mbaya tano. Tabia ya kwanza ni matumizi ya simu wakati wa…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Rafiki yangu Mpendwa, Je, umewahi kuhisi kutosikilizwa kwenye mazungumzo ya aina yoyote? Labda ulikuwa katikati ya kuzungumza, mtu fulani akakukatiza kabla hujamaliza, au labda ulimaliza kuzungumza ukitegemea kujibiwa ukakutana na ukimya wa kushangaza na ukagundua kuwa mtu uliyekuwa unaongea naye alikuwa anachati kwenye simu na hivyo alikuwa hakusikilizi? Je, ulijisikiaje? Katika mazungumzo ya aina yoyote,…

Hizi Ndizo Changamoto za Kuoana na Mtu wa Imani ya Dini Tofauti

Hizi Ndizo Changamoto za Kuoana na Mtu wa Imani ya Dini Tofauti

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya mambo muhimu sana ya kuzingatia unapochagua mwenzi wa maisha (mume au ke) ni imani ya dini. Jambo hili limekuwa likipuuzwa sana na watu wengi na ni kawaida kukuta mkristo ameoana na mwislamu au mkristo ameoana na mtu asiye na dini au mkristo wa madhehebu fulani kuoana na mkristo…

Je, Kuna Tatizo Gani Kuoana na Mtu wa Imani Nyingine?

Je, Kuna Tatizo Gani Kuoana na Mtu wa Imani Nyingine?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wakati Mungu anaanzisha taasisi ya ndoa, alimtafutia Adamu mke wa kufanana naye kama Neno lake linavyosema “Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye” (Mwanzo 2:18). Kwa sababu hiyo, nasi hatupaswi kufanya tofauti bali kutafuta mtu wa kufanana nasi. Kufanana kwa wanandoa kutawafanya…

Kama Hizi Ndizo Sababu Zako za Kufunga Ndoa, Jitafakari Upya

Kama Hizi Ndizo Sababu Zako za Kufunga Ndoa, Jitafakari Upya

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Zipo sababu nyingi zinazochangia kuharibika na hata kuvunjika kwa mahusiano katika ndoa. Sababu mojawapo ni sababu iliyowafanya wanandoa kuingia katika ndoa. Zipo sababu sahihi na zisizo sahihi za watu kuingia katika ndoa. Ukiingia katika ndoa kwa sababu sahihi, ndoa yako ina uwezekano mkubwa wa kuwa na amani, upendo na furaha.…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kumjua Mchumba Anayekupenda Kwa Dhati

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kumjua Mchumba Anayekupenda Kwa Dhati

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi wanaotafuta wachumba au walioko kwenye uchumba huwa wanajiuliza, nitawezaje kumjua mchumba mwenye mapenzi ya dhati kwangu na nitawezaje kumbaini yule asiye na mapenzi ya dhati kwangu? Kila mtu anayetafuta mchumba au aliyeko kwenye uchumba tayari, ni muhimu sana kujiuliza maswali hayo. Usipojiuliza maswali haya na kupata majibu yake…

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kunusuru Ndoa Yako Kwa Kuepuka kuwa Msikilizaji Mbovu

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kunusuru Ndoa Yako Kwa Kuepuka kuwa Msikilizaji Mbovu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tafiti zinaonesha kwamba mawasiliano ni mojawapo ya mambo yanayooongoza katika kusababisha migogoro ya ndoa na kusababisha kukosekana kwa amani katika ndoa na familia na hatimaye kuvunjika kwa ndoa.  Tatzio mojawapo linalochangia kukosekana kwa mawasilinao mazuri katika ndoa ni mwanandoa mmoja au wote kuwa wasikilizaji wabovu. Huenda wewe ni mmojawapo wa…

Hivi Ndivyo Mawasiliano Yanavyoweza Kujenga Au Kubomoa Ndoa Yako

Hivi Ndivyo Mawasiliano Yanavyoweza Kujenga Au Kubomoa Ndoa Yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo “Mimi sielewi nini kimetokea katika ndoa yetu,’’ alisema Kelvin (siyo jina lake halisi) huku akiwa na msongo kubwa wa mawazo. Kabla hatujaoana tulikuwa na mambo mengi ya kuongea. Sasa hatuongei. Kwa upande wa Esta (siyo jina lake halisi) ambaye ni mke wa Kelvin anasema “huwa simwambii chochote, na hivyo hana…