Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…