Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Rafiki yangu mpendwa, Mara nyingi tunaposikia suala la deni la taifa au mikopo kwa serikali, mawazo yetu yanakimbia moja kwa moja katika nchi zilizoendelea pamoja na mashirika ya kimataifa kama vile Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na mengine mengi. Hawa ndio wakopeshaji wakuu wa Serikali. Ndiyo, hawa ndiyo wakopeshaji wakubwa wa Serikali, lakini…

Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu mpendwa , Katika makala yangu iliyopita nilikushirikisha  juu ya aina ya uwekezaji wa kisasa ambao mtu wa kisasa kama wewe ni muhimu kuwa nao. Aina hiyo ya Uwekezaji huo ni uwekezaji katika masoko ya dhamana. Katika makala hayo, nilikueleza kuwa uwekezaji katika masoko ya dhamana si uwekezaji mpya duniani lakini ni uwekezaji mpya…

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu Mpendwa, Kuna aina nyingi za uwekezaji ambazo watu wamekuwa wakizifanya. Baadhi ya aina hizo ni uwekezaji katika ardhi na majengo kwa kuwa na ardhi ya kukodisha na kujenga nyumba za kupangisha, kuweka fedha benki ili kupata riba, kuwekeza katika vipaji na talanta ulizo nazo kama vile utunzi na uimbaji wa nyimbo, michezo mbalimbali,…

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi hutamani kuingia katika uwekezaji ili wawe na kipato cha uhakika na kisicho na kikomo. Kwa upande mwingine, kuna watu wengi ambao hawataki kuingi katika uwekezaji kwa kuogopa hatari zilizoko kwenye uwekezaji. Vilevile, kuna wawekezaji ambao huamua kuondoka kabisa katika uwekezaji na kufanya shughuli zingine baada ya kukumbana na…