Hivi ndivyo Akina Mama wanavyoweza kuwapeleka Watoto kwa Yesu

Hivi ndivyo Akina Mama wanavyoweza kuwapeleka Watoto kwa Yesu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Katika malezi ya watoto kikristo, wazazi wote wawili wana nafasi yake. Japo wanatakiwa kushirkiana lakini baba ana nafasi yake mahususi na mama pia ana nafasi yake. Tayari tumeshaona kwa kifupi namna gani akina baba wana walivyo na mchango katika kumpeleka mtot kwa Yesu. Katika makala ya leo tutaangalia mchango wa…

Hivi ndivyo akina baba wanavyoweza kuwapeleka watoto wao kwa Yesu

Hivi ndivyo akina baba wanavyoweza kuwapeleka watoto wao kwa Yesu

 Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mwalimu mmoja asiyeamini kwamba Mungu yupo (atheist), siku moja alimtuma mwanafunzi wake kwenda nje ya darasa na kungalia juu. Aliporudi mwalimu aliuliza, umeliona anga? Umeyaona mawingu? Umeuona mwanga wa jua? Mwanafunzi alikuwa akijibu “ndiyo” kwa kila swali. Na mwisho mwalimu alimuuliza, “Umemuona Mungu”? Mwanafunzi alijibu “Hapana”. Kufuatia jibu hilo mwalimu…

Hivi Ndivyo Mnavyoweza kusimamia Fedha katika Ndoa Yenu

Hivi Ndivyo Mnavyoweza kusimamia Fedha katika Ndoa Yenu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mtu mmoja aliwahi kusema “kila ndoa ina rangi yake” akiwa na maana kuwa ndoa hazifanani katika namna wanandoa wanavyoendesha mambo yao. Moja ya mambo ambayo kuna tofauti kubwa kati ya ndoa moja na nyingine ni namna wanandoa wanavyosimamia pesa zao. Kuna aina mbalimbali za wanandoa kuhusiana na namna wanavyosimamia masuala…

Mavazi ya  kujisitiri yanayotajwa na Biblia ni yapi?

Mavazi ya  kujisitiri yanayotajwa na Biblia ni yapi?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Suala la mavazi yanayomfaa mkristo ni mojawapo ya masuala tete katika ulimwenguni wa leo wenye mwingiliano wa tamaduni mbalimbali unaosabishwa na utandawazi. Kwa miaka ya nyumba hakukuwa na kelele nyingi sana kuhusu suala hili maana watu wengi walikuwa wanavaa mavazi ya kujisitiri. Kutokana na mwingiliano wa tamaduni mbalimbali, watu wanaiga…

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kuna mitazamo tofauti miongoni mwa wakristo kuhusu suala la bima. Wapo wanaounga mkono kukata bima ya aina yoyote lakini wapo wengine ambao wana mtazamo kuwa kukata bima kunaonesha upungufu wa imani juu ya uweza wa Mungu. Kwa sababu ya mgawanyiko huu wa mtazamo, tutajadili kidogo suala hili. Kwanza ieleweke kuwa,…

Fedha yako inaweza kuimarisha au kubomoa Ndoa yako

Fedha yako inaweza kuimarisha au kubomoa Ndoa yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tafiti zilizofanyika katika nchi mbalimbali zinaonesha kuwa mojawapo ya mambo yanayooongoza kusababisha migogoro na kuvunjika kwa ndoa ni fedha. Kwa mfano, Mwaka 2017, kampuni moja ya kimarekani inayojishughulisha na utafiti na utoaji wa elimu ya masuala ya fedha itwayo Ramsey solutions, ilifanya utafiti uliowahusisha watu 1072 nchini humo. Lengo la…

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi hutamani kuingia katika uwekezaji ili wawe na kipato cha uhakika na kisicho na kikomo. Kwa upande mwingine, kuna watu wengi ambao hawataki kuingi katika uwekezaji kwa kuogopa hatari zilizoko kwenye uwekezaji. Vilevile, kuna wawekezaji ambao huamua kuondoka kabisa katika uwekezaji na kufanya shughuli zingine baada ya kukumbana na…

Hizi Ndizo Kanuni Za Kufanya Biashara Kwa Mkristo

Ndugu yangu mpendwa katika Kristo, Hakuna ubishi kwamba biashara ni njia mojawapo ya uhakika ya kujipatia kipato kisicho na kikomo. Hivyo, ni vema kila mmoja anayetamani kufanikiwa kifedha awe na biashara hata kama na vyanzo vingine vya kipato. Kama utaamua kufanya biashara, yakupasa ujue kuwa biashara ina kanuni zake. Zipo kanuni za jumla ambazo mfanyabiashara…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Kwa Watoto wa Siku Hizi

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Kwa Watoto wa Siku Hizi

Rafiki yangu mpendwa katika Krsito, Tunaishi katika karne ambayo imepewa jina la “Karne ya Sayansi na Teknolojia”. Maendeleo makubwa ya Sayansi na teknolojia yamesababisha mabadiliko karibu katika nyanja zote za maisha ya mwanadamu na mabadiliko hayo yanatokea kwa kasi sana kuliko karne zilizopita. Maendeleo tunayoyashuhudia si kitu cha kushangaza kwa wasomaji wa Biblia maana ni…